Saturday, June 16, 2012

THE UNIVERSITY OF DODOMA

Hatimaye majibu yalitoka nikachaguliwa Chuo Kikuu cha Dodoma hivyo niliondoka na kwenda kuanza masomo yangu, na kama ilivyo ada dawa hazikukosekana kwenye mizigo yangu nikawa nimeanza maisha mapya na watu wapya tena, wanaohitaji ufafanuzi lakini katu sikuthubutu kumwambia yeyote juu ya hali yangu ilikuwa bahati nzuri nilikaa karibu na watu ambao nimesoma nao hviyo waliijua hali yangu na walinisaidia kila mara nilipohitaji msaada wa kiafya hususan nilipoumwa, nilipokuwa pale chuoni kuna watu ambao kamwe sitowasahau katika maisha yangu kwa muhanga waliojitoa juu yangu kuna kipindi niliumwa hadi kushindwa hata kwenda chooni lakini hawakusita kunibeba kunipeleka, kufua na kudeki matapishi yangu na hata ilipobidi kunifulia ngua za ndani I will always be grateful to them ZULFA, MASTURA, DEBORA, RAFIKI, FINA na HAFSA ( I LOVE YOU GUYS n u will always be in my heart) na VERDIANA pia kuna walokuwa wakinibeba mara kwa mara nilipokuwa naumwa na hakukuwa na ambulance karibu HUMPHREY na rafiki zako I salute you popote mlipo. Lakini pamoja na yote kuna watu mchango wao sitausahau nilipokuwa nasoma kwa kunipa moyo FINA najua hujui lakini kuna kitu kimoja cha muhimu sana ulichonifunza katika maisha yangu and that is to be strong always and I respect you for that SOZIGWA bila kusahau umenipa moyo sana na umenifunza mengi nashukuru sana kwa hilo.

At last the results were out and I was selected to join university of Dodoma for my bachelor degree so I left to begin my studies, and as always medicine didnt miss in my luggages, I started a new life with new people once again, who needed to be told of my condition but I didn’t dare tell anyone about that but I was luck I stayed close rooms with people who I studied with so they were aware and they helped me constantly when I needed their help especially when I was sick, when I was there, there are some people that I will never forget in my life for the readiness they had in helping me, there are times that I was very sick that I couldn’t do anything, I couldn’t evn stand and go to toilet but they didn’t hasitate to carry me, to wash my clothes and mop the dirt when I vomited and even wash my underwears when it was necessary. I will always be grateful to them ZULFA, MASTURA, DEBORA, RAFIKI, FINA, HAFSA (I LOVE YOU GUYS and u will alywas be in my heart) and VERDIANA. Also I wont forget those who were carring me to the hospital when the ambulance was far HUMPHREY and your friends I salute you guys. More over there people that I will never forget their moral support and give me hope FINA I know you are not aware of this because I have never told you about this, there is one important thing that u taught me and that is to be strong always and I respect you for that without forgetting someone goes by the name SOZIGWA you gave me lots of strength and hope, u also taught me a lot thans a lot for that.

0 comments:

Post a Comment